Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Apr 14, 2021 #97,501 cocastic said: Mnawezaje sasa kula parachichi? Mie nikiona hata m2 anakula pemben napatwa na kichefu chefu. Aseeeeh Click to expand... Aisee wewe dogo unapitwa Sana. Mimi naona siku hizi nimepunguza Kipindi nakua nilikuwa nakula hata parachichi 2 pekeyangu tena hapo ni mlo mmoja.
cocastic said: Mnawezaje sasa kula parachichi? Mie nikiona hata m2 anakula pemben napatwa na kichefu chefu. Aseeeeh Click to expand... Aisee wewe dogo unapitwa Sana. Mimi naona siku hizi nimepunguza Kipindi nakua nilikuwa nakula hata parachichi 2 pekeyangu tena hapo ni mlo mmoja.
Malchiah JF-Expert Member Joined Feb 10, 2021 Posts 1,952 Reaction score 20,674 Apr 14, 2021 #97,502 Saint Anne said: Yaani nilichomaanisha mimi ni hicho kwa maana ya uraibu. Sijamaanisha ulevi wa pombe tu! Hata mimi nina ulevi wangu. Click to expand... Asanteee,hapo tuko sawa. Ninong'oneze,ulevi wako ni upii mtoto mzuri?!
Saint Anne said: Yaani nilichomaanisha mimi ni hicho kwa maana ya uraibu. Sijamaanisha ulevi wa pombe tu! Hata mimi nina ulevi wangu. Click to expand... Asanteee,hapo tuko sawa. Ninong'oneze,ulevi wako ni upii mtoto mzuri?!
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Apr 14, 2021 #97,503 Doon said: Kumbe mwana utopolo fc Wazee wa siku hizi mmechangamka. Click to expand... Huwezi kuwa kwenye peak muda wote. Mpira ni kupanda na kushuka mkuu.
Doon said: Kumbe mwana utopolo fc Wazee wa siku hizi mmechangamka. Click to expand... Huwezi kuwa kwenye peak muda wote. Mpira ni kupanda na kushuka mkuu.
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Apr 14, 2021 #97,504 T 1990 ELY said: Kwa nini wewe hupendi maparachichi na ukiona mtu anakula unahisi kichefu chefu au huwa unayafananisha na nini maparachichi yetu? Click to expand...
T 1990 ELY said: Kwa nini wewe hupendi maparachichi na ukiona mtu anakula unahisi kichefu chefu au huwa unayafananisha na nini maparachichi yetu? Click to expand...
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Apr 14, 2021 #97,505 cocastic said: Kabisaaah yaaan. View attachment 1751490 Click to expand... Yaani hii inanigusa kabisa yaani Jamani mnaotamani urafiki na Mimi. Mimi ni stress tupu mwee
cocastic said: Kabisaaah yaaan. View attachment 1751490 Click to expand... Yaani hii inanigusa kabisa yaani Jamani mnaotamani urafiki na Mimi. Mimi ni stress tupu mwee
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Apr 14, 2021 #97,506 moudgulf said: Karibu nyumbani jioni ya leo Click to expand... Nakuja kufturu japo sijafunga Uzuri wenu waislam kwenye maswala haya ya chakula yaani siyo wachoyo kabisa.
moudgulf said: Karibu nyumbani jioni ya leo Click to expand... Nakuja kufturu japo sijafunga Uzuri wenu waislam kwenye maswala haya ya chakula yaani siyo wachoyo kabisa.
T 1990 ELY JF-Expert Member Joined Sep 7, 2014 Posts 12,936 Reaction score 30,099 Apr 14, 2021 #97,507 Saint Anne said: Click to expand... Saint Anne
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Apr 14, 2021 #97,508 Malchiah said: Asanteee,hapo tuko sawa. Ninong'oneze,ulevi wako ni upii mtoto mzuri?! Click to expand... Nikisema hapa nitaonekana wa ajabu Sana Nina ulevi Kwenye vitu vya ajabu hadi najishangaa.
Malchiah said: Asanteee,hapo tuko sawa. Ninong'oneze,ulevi wako ni upii mtoto mzuri?! Click to expand... Nikisema hapa nitaonekana wa ajabu Sana Nina ulevi Kwenye vitu vya ajabu hadi najishangaa.
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Apr 14, 2021 #97,509 T 1990 ELY said: Saint Anne Click to expand... Bado naifikiria comment yako Halafu jamaa nikikuona tu namkumbuka Anko Magu,msukuma mwenzenu na roho yangu inaishia kuumia.
T 1990 ELY said: Saint Anne Click to expand... Bado naifikiria comment yako Halafu jamaa nikikuona tu namkumbuka Anko Magu,msukuma mwenzenu na roho yangu inaishia kuumia.
T 1990 ELY JF-Expert Member Joined Sep 7, 2014 Posts 12,936 Reaction score 30,099 Apr 14, 2021 #97,510 Saint Anne said: Bado naifikiria comment yako Halafu jamaa nikikuona tu namkumbuka Anko Magu,msukuma mwenzenu na roho yangu inaishia kuumia. Click to expand... Duh!!...eti hapendi maparachichi yetu na akiyaona/akiona mtu anakula anahisi kichefu chefu sijui huwa anayafananisha na nini huyu mtu.. Tuendelee kumuombea apumzike kwa amani mpendwa wetu
Saint Anne said: Bado naifikiria comment yako Halafu jamaa nikikuona tu namkumbuka Anko Magu,msukuma mwenzenu na roho yangu inaishia kuumia. Click to expand... Duh!!...eti hapendi maparachichi yetu na akiyaona/akiona mtu anakula anahisi kichefu chefu sijui huwa anayafananisha na nini huyu mtu.. Tuendelee kumuombea apumzike kwa amani mpendwa wetu
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Apr 14, 2021 #97,511 T 1990 ELY said: Duh!!...eti hapendi maparachichi yetu na akiyaona/akiona mtu anakula anahisi kichefu chefu sijui huwa anayafananisha na nini huyu mtu.. Tuendelee kumuombea apumzike kwa amani mpendwa wetu Click to expand... Dah Sijui hata nacheka nini! Amen
T 1990 ELY said: Duh!!...eti hapendi maparachichi yetu na akiyaona/akiona mtu anakula anahisi kichefu chefu sijui huwa anayafananisha na nini huyu mtu.. Tuendelee kumuombea apumzike kwa amani mpendwa wetu Click to expand... Dah Sijui hata nacheka nini! Amen
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Apr 14, 2021 #97,512 Karma said: Kwa kweli ongea na mzee wa kilingeni msata kwanza. Akishindwa yeye sisi tutakuja kumaliza kazi wenyewe. Click to expand... Imeisha hiyoooo
Karma said: Kwa kweli ongea na mzee wa kilingeni msata kwanza. Akishindwa yeye sisi tutakuja kumaliza kazi wenyewe. Click to expand... Imeisha hiyoooo
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Apr 14, 2021 #97,513 T 1990 ELY said: KaribuView attachment 1751541 Click to expand... Shemeji wa kienyeji kuna siku nitakuja huko kukula hii kitu halafu narudi nilipotoka.kha vyakula vyako vinanitikisiaga tumbo langu
T 1990 ELY said: KaribuView attachment 1751541 Click to expand... Shemeji wa kienyeji kuna siku nitakuja huko kukula hii kitu halafu narudi nilipotoka.kha vyakula vyako vinanitikisiaga tumbo langu
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Apr 14, 2021 #97,514 Karma said: Hakubadilisha akakuquote tena ukamuambia amekusaliti. Alikuja kubadilisha baadae. Click to expand... 😆😆😆aise kazi kweli kweli aloo🤣🤣
Karma said: Hakubadilisha akakuquote tena ukamuambia amekusaliti. Alikuja kubadilisha baadae. Click to expand... 😆😆😆aise kazi kweli kweli aloo🤣🤣
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Apr 14, 2021 #97,515 Karma said: Mdogo Wangu wapi hiyo Click to expand... Dada wa JF hapo ni znz
geraldincredible JF-Expert Member Joined Mar 26, 2017 Posts 2,035 Reaction score 7,227 Apr 14, 2021 #97,516 Karma said: Nimeshangaa sana kalumbu Click to expand... nazitoa aisee manake nimekua kituko kwenye jamii Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Karma said: Nimeshangaa sana kalumbu Click to expand... nazitoa aisee manake nimekua kituko kwenye jamii Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
T 1990 ELY JF-Expert Member Joined Sep 7, 2014 Posts 12,936 Reaction score 30,099 Apr 14, 2021 #97,517 Chakorii said: Shemeji wa kienyeji kuna siku nitakuja huko kukula hii kitu halafu narudi nilipotoka.kha vyakula vyako vinanitikisiaga tumbo langu Click to expand... Karibu sana shemeji wa kienyeji Vipi kwema lakini Chakorii
Chakorii said: Shemeji wa kienyeji kuna siku nitakuja huko kukula hii kitu halafu narudi nilipotoka.kha vyakula vyako vinanitikisiaga tumbo langu Click to expand... Karibu sana shemeji wa kienyeji Vipi kwema lakini Chakorii
T 1990 ELY JF-Expert Member Joined Sep 7, 2014 Posts 12,936 Reaction score 30,099 Apr 14, 2021 #97,518 Saint Anne said: Dah Sijui hata nacheka nini! Amen Click to expand... Cheka tu mtumishi wa MUNGU
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Apr 14, 2021 #97,519 T 1990 ELY said: Karibu sana shemeji wa kienyeji Vipi kwema lakini Chakorii Click to expand... Asante shemwakienyeji. Nikwema kabisa Elly za kwako baba
T 1990 ELY said: Karibu sana shemeji wa kienyeji Vipi kwema lakini Chakorii Click to expand... Asante shemwakienyeji. Nikwema kabisa Elly za kwako baba
T 1990 ELY JF-Expert Member Joined Sep 7, 2014 Posts 12,936 Reaction score 30,099 Apr 14, 2021 #97,520 Chakorii said: Asante shemwakienyeji. Nikwema kabisa Elly za kwako baba Click to expand... Za kwangu njema/salama kabisa mpendwa
Chakorii said: Asante shemwakienyeji. Nikwema kabisa Elly za kwako baba Click to expand... Za kwangu njema/salama kabisa mpendwa