Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahaaaaa!!!ngoja ntakutumia dadaa!!
Acha kabisa wanafunzi wananichosha hatari na mambo mengi mnoo!staki kunenepa tena Mimi jamani maana last year nilibongekaa mpk walijua nna mimba watu!
Tuone picha za mwakajana



Mimi nilivyo na hasira sidhani kama ningeweza kuwa mwalimu

Yaani napoteza nguvu halafu watoto wengine kumbe hata hawasikilizi


Walimu mbarikiwe sana aisee
 

Mama Ray na Vero

Unaonekana binti mdogo

Nikiwa mkubwa natamani nimaintain mwili namna hiyo.


Naona mahindi pembeni yameshakomaa.
Hahahah!!ulijuaje hayo majina ya wanangu!!!umeniita exactly navoitwa aseehh!
Mmama Mimi kabisa wa two kids !!kupungua ni nidhamu tu!Mimi sinywi pombe nashukuru kwa hilo!Niko above 33!
 
Hahahah!!ulijuaje hayo majina ya wanangu!!!umeniita exactly navoitwa aseehh!
Mmama Mimi kabisa wa two kids !!kupungua ni nidhamu tu!Mimi sinywi pombe nashukuru kwa hilo!Niko above 33!
Aiseee

Yaani wewe tukisimama pamoja Mimi naonekana mmama wakati umenizidi miaka 10

Hongera Sana ticha


Kumbe nimepatia kuita jina eeh
,
Kuna sehemu niliona ulielezea kuhusu hii username yako kwamba ni wanao.

Tuone na hizo picha za mwakajana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…