Selfika na JF: Snap it. Show it

Yeah mwenyewe nilishindwa kuimalizia ilifika kipindi nilikosa muda wa kuiangalia. Nikasema mbona hawaimalizi mwisho wa siku nikaona acha waendelee tu mi niishie hapa.

Yeah mimi nilikuuliza huku huku selfika. Hiyo system naielewa sana mama unakuta mtu unamkubali humu ila unashindwa uanze vipi kumuambia sasa siku akijichanganya akakuquote tu unaona yes hapa hapa nitoe ya moyoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…