Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kaone[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unanichukulia poa sana???
Unadhani muda wote tu najitoa ufahamu?[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nanyoka na msimamo wangu huu mpaka ukamilifu wa dahari.
Hahahahaha Utarudi tu kwenye himaya ni pito tu LA muda Wala Sina wasiwasi
 
Hahahahaha Utarudi tu kwenye himaya ni pito tu LA muda Wala Sina wasiwasi
Baadaye hutaamini kabisa kama ni Mimi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utauona upande wangu wa pili [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

We si umezoea tu kuona ninavyojitoaga fahamu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Baadaye hutaamini kabisa kama ni Mimi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utauona upande wangu wa pili [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

We si umezoea tu kuona ninavyojitoaga fahamu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama nimetishika flan, sipendi kabisa kuuona huo upande wa pili nataka Ukiwa na side A unakua mzuriiiii
 
Gudnight too mwanangu[emoji110]
Ngoja mie nipate chochote kitu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Usinichekeshe Usiku nitaamsha mtoto [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimekwambia ulale wewe unaendelea kucheka huku,shauri zako[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Huu ni muda wa mapopo kupata chochote kitu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
For God so loved the World[emoji3531]
GOD IS LOVE
Screenshot_20210408-164721.jpg
 
Back
Top Bottom