Amekubali ila amesema sharti kila Ijumaa hadi Jumapili tuwe tunafunga(fasting) kumsuport.Kwani mtakatifu analizungumziaje kwanza kabla ya mimi kupita
Ulitegemea maswali gani?Sikutegemea haya maswali aisee!
Sijaoa Boss wangu,
Ukisema nataka kuhangaika na wake za watu, ni kama vile nina kampango kibindoni kabisa kakutembea na wake za watu. Sio sawa
Kweli, sijawahi panga kabisa kudhulumu furaha ya ndoa za watu.. Hizi hisia zimekuja tu kama ajali katika pitapita zangu..
Na ndio maana najaribu kadri niwezavyo nitoke kwenye hii ajali bila majeruhi.
Naamisha yeye kuwa mume wa pili haiwezekani.Acha kukaza shingo mtakatifu...chukua Bwana harusi huyooo..kwani alikwambia ameoa?wewe ndo utakuwa wa kwanza
Kwani utasema tayari nina ndoa ya kwanza? Kwanza Chakorii hatojua labda umwambie wewe. Najua hapa hawezi kupita kujua tulichokubaliana
Ohoooo kumbeee...mimi nilijua hana lohNaamisha yeye kuwa mume wa pili haiwezekani.
Hata yeye si tayari ana mke na michepuko
Mimi nina mchumba humu mbona.Unaona sasa mambo yako ya kulinganisha watu...utakwenda na maji ohooooo...fanya anachotaka umpate mtakatifu.fanya chap maana yuko singal ujue
Wacha bhana 🤪🤪Amekubali ila amesema sharti kila Ijumaa hadi Jumapili tuwe tunafunga(fasting) kumsuport.
Hili sharti nadhani tutaweza, tunatoka tunakula hotelini tukirudi nyumbani tunafunga naye tu😀
Ohoooo kumbeee...mimi nilijua hana loh
Jamani si ulimuachia jojo au mimi ndo sikuelewaMimi nina mchumba humu mbona.
Bado sijamuacha licha ya misukosuko iliyotokea.
Amekubali ila amesema sharti kila Ijumaa hadi Jumapili tuwe tunafunga(fasting) kumsuport.
Hili sharti nadhani tutaweza, tunatoka tunakula hotelini tukirudi nyumbani tunafunga naye tu
Kirahisi namna hiyo??Jamani si ulimuachia jojo au mimi ndo sikuelewa
Si wanasemaga mapenzi majani huota popote amaaa..Kirahisi namna hiyo??
A wapiSi wanasemaga mapenzi majani huota popote amaaa..
Basi sawa
Yaani hata aina za pombe sijui wine sizijui
Ubarikiwe pia.Nimesema kuwa ni "Jaribu la kutaka kuchepuka".
Kwa mtizamo wangu, jambo linapokuwa "Jaribu" maana yake hukulitegemea. Kweli mtu nakaa kabisa mezani naanza kujipangia jaribu. Mmh!
Lakini kama wewe unaona jaribu linakidhi kigezo cha kuwa mpango, naheshimu mawazo yako.
Kuoa si jambo baya, ila sijaoa kutokana na sbb zilizo nje ya uwezo wangu. Hata hivyo nimepokea ushauri.
Nashukuru pia kwa ushauri wa kulipua bomu.
Be blessed Mkuu.
Mnafanana tone ya uandishi.SYB ni nani?
Na kwa nini unanilinganisha Mkuu?
Samahani lakni.
Ok, ila nimetafuta hiyo ID haipo hapa jukwaani.
Naomba nikuulize swali ila uko huru kutonijibu.. Unatambuaje Tone kwenye maandishi?
Ni mkuu(babake Chakorii)mstaarabu sana.Nipo njia panda.
SYB ni nani?
Na kwa nini unanilinganisha Mkuu?
Samahani lakni.