Selfika na JF: Snap it. Show it

Mtakatifu ndo mzuri.mpe nafasi atoe msaada πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Mambo ya kukaririshwa Zaburi na Matendo ya Mitume sijui kama nitaweza.
Labda aniambie kila siku tuwe tunasoma kitabu cha Wimbo Uliobora, hapo nitawezaπŸ˜€πŸ˜€πŸ™ˆ.
Otherwise bora nirudi Zanzibar tu πŸ™Š
 
Hebu wacha niwahiwe hukooo...kizuri kula na nduguyo😁😁

Sasa hao ndo wazuri wa kusali usiku kama bado hujajua
 
Mambo ya kukaririshwa Zaburi na Matendo ya Mitume sijui kama nitaweza.
Labda aniambie kila siku tuwe tunasoma kitabu cha Wimbo Uliobora, hapo nitawezaπŸ˜€πŸ˜€πŸ™ˆ.
Otherwise bora nirudi Zanzibar tu πŸ™Š
Unaona sasa unavyokata tamaa mapema😁😁😁unaniangusha ujue
 
Hebu wacha niwahiwe hukooo...kizuri kula na nduguyo😁😁

Sasa hao ndo wazuri wa kusali usiku kama bado hujajua
Usifanye moyo wangu upasuke, mambo ya kula na wana siwezi kuvumilia. Utafanya niwe nakufungia ndani na sokoni nakwenda mwenyewe na kapu πŸ˜€
 
Usifanye moyo wangu upasuke, mambo ya kula na wana siwezi kuvumilia. Utafanya niwe nakufungia ndani na sokoni nakwenda mwenyewe na kapu πŸ˜€
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†weee usiniambie utanifungia ndani 😁😁acha bhana utaweza kweli πŸ€ͺπŸ€ͺ
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†weee usiniambie utanifungia ndani 😁😁acha bhana utaweza kweli πŸ€ͺπŸ€ͺ
Nimeona huku Zanzibar wanavyofanya, tukirudi Bara nataka nikakufungie ndani tu.
Sokoni naenda miye na kupika miye. Kazi yako inabaki moja tu, najua unajua πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ™ˆ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…