Selfika na JF: Snap it. Show it

Ndiyo
Jitahidi ufwate hayo machache uone Mungu anavyojibu.


Sema makanisa yetu siku hizi mengi yanayumba Sana hasa kwenye upande wa utoaji sadaka..
Hadi Wana wa ulimwengu wanatuzidi,ndiyo maana watu wengi wa nje wanafanikiwa kuliko wa kanisani.
Utoaji sadak kwa upande wangu sio mafanikio!!!! Wengi wenye uwezo wa kutoa vingi na mengi si wasafi wa roho hata mwili,

Moyo msafi ni mafanikio kwenye Ufalme wa mungu.
 
Acha acha acha dhambi zako
Acha acha acha utapotea

Wamhuzunisha roho wa Bwana
Wamhuzunisha kwa dhambi zako
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Huu wimbo nimeupiga Sana Leo Ijumaa kuu.
Hahahha majungu si mtaji mdogo angu. Unaufahamu huu wimbo uliimbwa zamani sana, sijui hata kaa ulikuwa umezaliwa

Taifa teule, Israel walimuasi Mungu
Wayahudi nao, wakataka kumuangamiza
Wakamkamata, wakamuweka mbele ya Pilato
Wale askari, katili katili kama Golliath...........
 
Nimekuelewa mchumba!

Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
 
Naujua.
Nikaukumbuka leo,nikaudownload.
Zamani nilikuwa naucheza sana.

Nimemsurprise dada yangu nilivyouweka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…