Selfika na JF: Snap it. Show it

Hivi kwa mwezi unakunywa bia za sh ngapi?
unataka kuleta umotivation speaker kwamba ningekua nimejenga kwa idad za bia nazokunywa





sijawai jua nakunywa shingap kwa mwezi....koz sinywi siku zote kuna break hua zinatokea so sijuagi idad za bia.....


cha Muhimu Mungu ni mwema anatupenda wote Wanywa bia na wanywa mirinda

amen


Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 

Nilitaka nianze kupiga hesabu za bia kwa miezi 6 nikilinganisha na bei za kiwanja


Ila mchumba wangu Jack angekuwa na nyumba zisizo na idadi huku kijinini Kama nikipiga hesabu za pombe anazokunywa.
 
Stalin baada ya kifo chake alirithiwa na Nikita Khrushchev., Siku mmoja akiwa ana hutubia Kamati Kuu huku akipinga sera nyingi ya mtangulizi wake, Mjumbe mmoja bila ya kujitambulisha alikereka na akamundikia ki note cha kumshutumu na kumlaumu, "we Nikita ulikua msaidizi wa Stalin, "kwa nini hukusema haya kipindi hicho Stalin akiwa hai?" Khrushchev akakisoma na akaomba Mjumbe aliye andika anyooshe mkono juu amtambue ili amjibu .Hakuna mkono uliyo nyooshwa, Khrushchev akasema "kinacho kushinda wewe kunyoosha mkono leo , ndo hicho hicho kilicho nishinda mimi kusema enzi hizo"
 
hahahahahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…