Ulivyosema boss lady nimecheka nikakumbuka pia, kuna siku Erick kanipigia whatsapp video ananiambia tuonane basi natata nikumiliki maana nishazoea bankers, account clerks, wamiliki wa maduka ya nguo ila sijawahi kumiliki md, mkurugenzi.
InshaAllah maneno yenu yakawe heri kwangu nitakuwa bosslady na mmiliki wa kiwanda kama bakhressa.
Kwa siksi paki za Lizarazu we kwisha habari yako. Ikiwezekana niruhusu tu nianze kukuita shemeji kwa sababu hakuna namna. Mi na hawa ng'ombe wangu acha tupambane na hali zetu
Wanaume wa jf wana....
Viatu vizuri
Saa nzuri
Raba kali
Shingo ndo usiseme
Magari mazuri
Wengi sana wameoa japo wamevua Pete.
Lakini mekuta kuna mmoja tulikuwa naye machakos, ila kahamia Tz sijuii!!
Sayai katika hadithi za Kisukuma ni kale kasungura kajanja kalaghai laghai ambako mara nyingi huwadanganya wanyama wengine na hata binadamu; halafu kanaishia kuwaingiza mjini huku kenyewe kakisepa kiaina. Sina uhakika kama nawe una usayai sayai kiaina
Wanaume wa jf wana....
Viatu vizuri
Saa nzuri
Raba kali
Shingo ndo usiseme
Magari mazuri
Wengi sana wameoa japo wamevua Pete.
Lakini mekuta kuna mmoja tulikuwa naye machakos, ila kahamia Tz sijuii!!
Kwa siksi paki za Lizarazu we kwisha habari yako. Ikiwezekana niruhusu tu nianze kukuita shemeji kwa sababu hakuna namna. Mi na hawa ng'ombe wangu acha tupambane na hali zetu
Wanaume wa jf wana....
Viatu vizuri
Saa nzuri
Raba kali
Shingo ndo usiseme
Magari mazuri
Wengi sana wameoa japo wamevua Pete.
Lakini mekuta kuna mmoja tulikuwa naye machakos, ila kahamia Tz sijuii!!