Hakuna moto, hakuna mbingu (mbinguni kumeshajaa), hakuna trinity na Yesu ni kaka yetu mkubwa kwa maana kwamba alikuwa ndiye kiumbe wa kwanza kuumbwa na Mungu. Hata dhana ya wokovu ni tofauti kidogo. Wana mafundisho mazuri sana na yenye kutia moyo mno! Pia ni wastaarabu kweli kweli na huwa napenda sana kuzungumza nao kwa kina.