Mkuu mimi nina furaha ya ajabu,nimejikuta leo napiga Komoni baada ya Bia,Konyagi na K-vant kushindwa kufua dafu!πππKwa mara ya kwanza katika historia ya maisha yangu furahaa inaninyima usingizi,sasa hivi ni saa 3:53am usiku ila nipo macho kodo!
Hata hayo maneno ya biblia hutaki kuyaamini?Wewe ni nani hata upinge maneno hayo?Sasa unataka nisisherekee waovu waangamiapo?Mimi ni nani hata nipingane na maandiko matakatifu?
Hata hayo maneno ya biblia hutaki kuyaamini?Wewe ni nani hata upinge maneno hayo?Sasa unataka nisisherekee waovu waangamiapo?Mimi ni nani hata nipingane na maandiko matakatifu?