Yeah, tayari. Haya masindano ya tetanus siyapendi aisee.
Sasa hivi bega lote linauma balaa.
But guess what though? I see $$$$....nshawasiliana na lawyer.
Mbwa ni wa jirani. Hakuwa kwenye leash.
Community subdivision guidelines zinataka mbwa wote wawe kwenye leash wakiwa nje.
I’m about to get paaaaaaid 😁