Una bahati ya kufahamiana na watu makini sana ambao hawawezi kuvujisha picha zako hata iweje sie wengine tulishakosea njia saa hii picha zetu zishasambazwa huko
Wewe jiongelee nafsi yako. Kuna kufanya kosa na kunakuvunja trust yako kwa mtu. Msamaha utapewa hata usipouomba but things will never be the same. Siku hizi tuna msemo wetu "Fainali uzeeni"
ndio maana nikasema wakati wa dharura, sio kwamba ninatetea jambo hilo au kwamba mimi ni muumini kwa kitu kama hiko la! bali kama mwanaume najua wengi wetu huangukia mahali hapo na wewe kama mke ni kusamehe iwapo utaombwa msamaha.