Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,010
Hahhaha mama mchungaji ulivyoitikia mroho mroho tu
Hahhaha mama mchungaji ulivyoitikia mroho mroho tu
kuna mashemeji hawataki maendeleo ya watu hapa nchiniHhahaha huyo hafai mkimbie kabisa
Picha hapa unanitafutia ugomvishemeji yako kanikataza
Hahahahaha sasa maendeleo gani unapata gerald nikipost pichakuna mashemeji hawataki maendeleo ya watu hapa nchini
basi tuu mwili unapata furaha na siku za kuishi dunian zinaongezeka.....nina picha zako mbili niliscreenshotHahahahaha sasa maendeleo gani unapata gerald nikipost picha


basi tuu mwili unapata furaha na siku za kuishi dunian zinaongezeka.....nina picha zako mbili niliscreenshot![]()



kwahiyo huwa unaziangalia


Safi sanaTii kiu YakoView attachment 1693593
mchambuzi wa vileo nchini....Tii kiu YakoView attachment 1693593
hahahhahahaha nilikuwazaSafi sana
kama yupo humu naomba nimuombe aisee.....niwe haji manara wako kwa leokwahiyo huwa unaziangalia
Ombea anipe ruhusa nitapost ili mwili upate furaha na siku za kuishi duniani ziongezeke![]()
kama yupo humu naomba nimuombe aisee.....niwe haji manara wako kwa leo




gerald bwana nacheka mimiAnatengeneza equation mkemia wenu.mchambuzi wa vileo nchini....
Uliniwazia nini?hahahhahahaha nilikuwaza
nilivyoona hzo bia nikawaza mtumishi lazima aseme kitu hapa.Uliniwazia nini?
Nakosa hata cha kusemanilivyoona hzo bia nikawaza mtumishi lazima aseme kitu hapa.
hahahahahha
kama imeshindikana acha tuendelee kuangalia za zamanigerald bwana nacheka mimi
Anne Zoè yuko wapi?Marahabaa
Aslam aleiykum warahmatullah wabaraqat