Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Safi🤛🤛🤛Ninayo mwenyewe Leo
Siku nyingine huwa nawaazima watu
Safi🤛🤛🤛Ninayo mwenyewe Leo
Siku nyingine huwa nawaazima watu
Jameson jina la bamkubwa wangu.
🤣🤣 Tena bangi ya iringa nasikia Kali magu alisema hiloUbebe na bangi kidogo
Jameson haikimbilii downstairs kweli isije ikanitia aibu😅😅😅 ijaribu na Saint Anne
tukitoka huko tuje hukuKaribu tupige vyombo mkemia
Hizo nimekata kama 3 muda mfupi uliopitatukitoka huko tuje hukuView attachment 1693484
kwenye vitu vilivyoanzia na K 🤣tukitoka huko tuje hukuView attachment 1693484
Hadi ya Arusha nabugia mbonaTena bangi ya iringa nasikia Kali magu alisema hilo
🤣🤣leo umevurugwa sioHadi ya Arusha nabugia mbona
Ni za kuuza?au ni za bure nije kula.
Niko sawa kabisaleo umevurugwa sio
Za kuliwa...siku zikianza kuuzwa Nita kuita uje uleNi za kuuza?au ni za bure nije kula.
Yaani nauliza kama kula ni bure ili nije.Za kuliwa...siku zikianza kuuzwa Nita kuita uje ule
Njoo tuu ni bureYaani nauliza kama kula ni bure ili nije.
Mi nikajua kwamba yupo tayari kuchapa injiliwew mwanaume maana yake uko tayari kwa jinsia KE
Sawa AkhsanteNjoo tuu ni bure