Hata akiongeza miaka kumi fresh tu.
Ili siku ya mwisho mje kutoa hesabu vizuri...usinywe nusunusu..ukiamua kunywa basi kunywa kama jamaa hapo,tangu mchana yupo amekesha..hadi shetani akiona anafurahi kichizi yaani.
Enwei,
Kuna mahali niliona andiko kama sio kusikia kwamba watakao ingia mbinguni mungu anawajua toka ata ulimwengu haujaumbwa,
Uoni kwamba mbingu sio ya kila mtu?