Selfika na JF: Snap it. Show it

Hata usipoangalia ni sawa tu!
Maana status naweka kwa ajili yangu na furaha yangu binafsi...ila usiponijibu msg basi na mm nitafanya hivyohivyo..nasoma natembea.
Na siwezagi kumuandikia mtu msg nyingine Kama ya nyuma tu hakuijibu.
Me navo jua status inawekwa ili watu waone, isipo-onwa lengo halijatimia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…