cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,303
Popote sawa tyuuuuh,unataka niseme hapa hapa!?



ila unijibu hilo swali.




msieeeeew, ndo mtakufa na vitu vidogo km hvyo, hope umeelewa pia. HahahahUrudi unajua kinyaki

Usirudi kama hujui kinyakindaga fijoo naloliiii,, tukuyu kwenu waosha magari Wana vifaa vichafu utadhani wanataka waichafue


Niletee hiyo mishkaki mwanangumbona ndio tupo njian kurudinimeiona ile mishkak yako nimeishia kucheka tu

Unadhani nakijua Basinitakuja kwenu kesho unifundishe


utakula ya uyole,,hivi unavonijua Mimi nibebe mishkaki![]()






Bwana Billhapana kwakweli![]()

ishia hapo hapo nisije nikageuza kurudi tukuyu kuifuata![]()



Safari hii tunakoseshana raha hadi majumbani







