Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]chuo mm nilikuwa nakula wali wa buku nashushia na maji yangu ya kisimani yaliyojaa chumvi kemkem nayachemsha safii.

Watu wa dar wanakula kwa sababu wanapenda tu kula hivyo..yaani mambo ya mjini haya[emoji23]
 
kabla ya kwenda ukumbini tunapiga kwanza zege la maana masuala ya kusubiri chakula saa tano hapana
Kwa kweli.
Mm ntabeba hata vijipande vya keki na soda nashushia pale mbele.
Maswala ya kuanikana na njaa inafika iyo saa 5 tumbo linauma,linatetemeka njaa[emoji23][emoji23][emoji23]siyo kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…