Ndiyo maana nasema watoto wa kishua hamuwezi kuelewa
Watu siyo kwamba hawali eti kwa sababu ni wa dar hela mjini ngumu mama
We husikii siku hizi hadi wanachuo wanashindia mihogo unafikiri wanapenda
Tunajipa tu moyo kuwa anayekula mahindi na ugali wote sawa (sembe ni sembe tu)