Hata sijui, inawezekana ni hivyo maana nilikuwa natapika balaa afu kula nikawa siwezi..Jana mida km hii nilikuwa natapika maji tu!
,kesho nataka nikapime
Tena homa zangu huwa za ghafla tu,Cha ajabu naumwa sana ndani ya siku tu na ninaweza hadi kulazwa.
Jana nilikuwa nachat humu ila nilikuwa hoi naumwa ,kuna watu niliwapa taarifa,wangewapa taarifa za kifo changu