aisee mambo ya mahari bana hua yananifurahisha Sana Mara utasikia mkaja wa mama hahaha unazidi toa hela tu ..Mimi nikija kwenu nikiona invoice inazidi nasimama nasema jamani naona kuoa bint yenu haikua ridhki yangu nimeshindwa
Naumwa kichizi mwanangu.
Jana nilitaka kufa,ilinibana homa usiku wa kuamkia jana yaani nilikuwa hoi Jana nzima sijainuka..hapa Mungu mwema nimeinuka leo.