Selfika na JF: Snap it. Show it

Maandishi yangu hayawezi kukubadilisha ila Mungu mwenyewe atakunyoosha..
Sipo kukulazimisha kubadilika,na sina hoja nyingine za kupinga nje na dini..kama huzitaki hakuna mahala nimekulazimisha ubadilike..
Picha zako za kishoga zinakera,usidhani tunaogopa kukuambia..unapovuka mipaka lazima tuseme.
Kama wewe unajisikia vizuri na huo ushoga basi ni wewe ila hayo mapicha yanakera,uyatoe.

Kama umelelewa katika maadili ya dini basi wewe dini haijakusaidia..ulipoteza muda.
Mungu ametuagiza tuonyane,na mimi nimetimiza maandiko..nimekuonya..na ilikuwa lazima niongeze na sitanyamaza.
 
certified Gay.......kulalaleeeeek ( in billdrago voice)
 
Ni sawa nasubiri kunyooshwa na huyo Mungu mwenyewe muweza wa yote, mie ni binadamu sijakamilika huwa nakosea hata ikiwa nje ya LGBT ni mkosefu pia, na kila mtu atabeba msalaba wake mwenyewe.

Sijakataa kuambiwa ukweli pale napokosea wala sidhani km naogopwa ndani ya hii forum, maan hata mie mwenyewe hakna ninaye muogopa.

Nafuata misingi na taratibu zote za hii forum, na sijawahi kukiuka, km ningekua navuka mipaka basi mamlaka husika inge deal na mie ipasavyo, kulingana na kosa lenyewe.

Na kuhusu hili la picha za jana hujui chanzo ni kipi, labda ungeuliza vizuri ueleweshwe, mie n mstaarabu san najua mipaka ya mawasiliano, kuna muda personal attacks zinakuja kwangu na matusi, kejeli na maneno yasiyofaa, huwa najibu kwa hekima tyuuh japo ninayemjibu lazima akwazike.

Kuhusu malezi na misingi ya dini, ni sawa nilikua napoteza muda, sidhani kwa hilo km kwako ni tatizo. Hakuna mwanadamu yeyote aliyekuwa mkamilifu, na hakuna jipya chini ya jua. Pia vitu na viumbe wote wema na wabaya wote ni wa Mungu, maana viliumbwa na yeye.

Hivyo niseme kila mtu ana uhuru wa kuishi vile anavotaka, pasipo kukiuka kanuni, taratibu na sheria za nchi zilizowekwa.
 
Mmemlea sana huyu choko humu mpaka anafikia kuona uchoko wake ni jambo la kujivunia. Tena linavyojishaua na hizo jomoneeeh zake. Haya mambo ni ya kukemewa kwa nguvu zote. Shame on you all kwa kumwendekeza humu!
Unateseka ukiwa wapi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wee kwani unazungumza nini? Unajua chanzo ni kipi? huyo mtu anajifanya yeye ndo anakereka San na status yangu, sasa nkamuonesha na picha aone uhalisia ili roho yake isuuzike.

Sio kila mtu anachokifanya mtandaoni bas maisha halisi yako hivyo, poleeeeeeh.

Halafu sijawahi simama parades na kushika bendera, achilia kuji proud kwa mwanaume hovyo, mie ni mtu ninaye jielewa na kujitambua, hata fiance wangu anajivunia hilo.

Poleeeeeeeeeh.
 
Mie huyu nitoke na hawa wanaume wa JF? Hivi unanijua au unanisikia? Km wee wanakuburuzaah poleeeeeh usidhan kila m2.
Nyoooooooooooooooooooooooooooh.
sema kubishana na hii gay ni kumuudhi hata shetani.....oya shoga all the best kwenye ushoga wako ila huna muda mrefu utaanza kupata haja kubwa ya minyooo



yameisha
 
Nyooooooooooooh!!!!
Bado sana mbona ndo kwanza mziki unaanza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unateseka ukiwa wapi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mie huyu nitoke na hawa wanaume wa JF? Hivi unanijua au unanisikia? Km wee wanakuburuzaah poleeeeeh usidhan kila m2.
Nyoooooooooooooooooooooooooooh.
 
sema kubishana na hii gay ni kumuudhi hata shetani.....oya shoga all the best kwenye ushoga wako ila huna muda mrefu utaanza kupata haja kubwa ya minyooo



yameisha
Nitapambana mwenyewe ktk hilo, wala wee hutakua unahusika kwa chochote.
Haya sasa Relaaaaaaaaaaaaax
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…