kuna comments ilinichekesha nilicheka ile siku tena ilikuwa usiku wa manane.
Aliandika"vichwa vya sayansi vinaondoka tu,juzi muddy physics yule ya mchikichini,Leo kihombo..eti janjajanja akina arts history wanazidi kudunda kwenye ardhi ya mola"
Yaani jf kuna kila aina ya kituko