Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,493
Jamani hiyo ni mitindo ya nguo za kinamamaSerious sijaambulia chochote hapa
Ahsante mama Muinjili
Mama mchungaji popote ulipo nakusalimia tu mimiAhsante mama Muinjili
Kweli?Mabibo na manzese zimejaa.![]()
Kifaa changu kina 512 MB memory, nikipiga lazima nifute...
Mwee daddy kwani mimi nimesema lazima utume ya leo
Mama mchungaji popote ulipo nakusalimia tu mimi
Team safari mikono juu ,, naambiwa huu mwaka hamna raha Sana eti

na hii baridi upo kunywa bia?Toa emoj hiyo
Muache abaki bila kitambi.muoe @st anne haraka sana mkuuu....kitambi kirudi

Kifaa changu kina 512 MB memory, nikipiga lazima nifute...




Mimi ni mitano ikiishahahaha Gerald kuoa ni mchakato ngoja nitaomba nikapeleke posa

kagauni kazurinakunywa ya Moto nisharudi nyumbani Kuna baridi hatarina hii baridi upo kunywa bia?
Yaani wakati naweka nilijiapiza usingesema hivi ningejizika nikiwa haiToa emoj hiyo




Sasa badala unywe chai unakunywa bianakunywa ya Moto nisharudi nyumbani Kuna baridi hatari
