Selfika na JF: Snap it. Show it

Weeee...msitudanganye!😬😬
Huku mnajidai kuziponda ila mtaani mnazisifia kama nini. Watu wenu wakibond na kushonea hizo "You are so beautiful! Ma" "You look amazing" etc. etc. kama zote 😏😏
πŸ™„hiyo huwa ni funika kombe mwnaharam apite tuu
 
Mi nadhani kwenye hili ni kila mtu alivoumbwa kikubwa ni ujijue unapendeza ukifanya kipi. Kuna wanaopendeza akinyoa kipara, kuna wanaopendeza akinyoa kama ulivonyoa, kuna anaependeza akisuka rasta nk nk..
Exactly!!! Kwahiyo mtuvumiliage tu!!

Alafu kuna kupenda kitu....na kitu kukupenda. So inabidi tuhangaike hangaike mpaka tupate style tunazopenda alafu nazo ziwe zinatupenda.
 
Aisee ukiwa busy ukawa hauingii hapa mara kwa mara unakutana na hizo sana.. Unaweza hisi una mkosiπŸ˜€πŸ˜€
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚yan me Mara zote humu huwa nakutana na picha za vyakula kutoka kwa Lizzy, nshawai bahatika kuona mguu wa chakorii na za wale wavaa makofia makubwΓ a, hata shingo huzion.
Vnginevyo ni ujumbe huo tu.😞😞😞
 
πŸ˜…Hatuwazid nyie...

kuna post moja ya twitter nilicheka sanaa.
Mdada kapost Good morning to all ladies and other gender that betray Jesus
Alichojibiwa sasa πŸ˜„ Nikabaki kucheka tu
🀣🀣🀣🀣 kukataa siwezi ila nasisitiza kwamba.....nyie ni wabaya!!!

Tupia screenshot shot ya alichojibiwa na sie tufurahi πŸ™‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…