saiv nitakua mwepesi hata kwenye ile amri ππ sema kakitambi kakufutia simu na kakukopea hamna Tena,, nimekaa karibu miez miwili , ntakuja kwenu uniombee au vp?
Sio kweli ndugu. Ziko jela za namna nyingi katika tafsiti ambazo mwanaume huwa anapitia lakini si kwakwamba kutokuwekwa jala ya polisi au ya magereza sio mwanaume!!