Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,586
- 11,365
Daahpole Sana kiongozi nahisi ndio wewe uliekua na rangerover discovery nyeusi ulikua peke ako ile njia ya ruvuma njombe , pole Sana boss nilipita pale watu hawana huruma inasemekana ulibeba mpunga mwingi watu wakaanza kugawana hela dah dunia hii jamaa mmoja shuhuda alisema ulikua na zaidi ya mill zaidi ya mill 50 cash duu hope yataisha mkuu be strong time heals
Pole Sana kiongoziAsante bro , nilikua nimetoka wilaya fulani huku nyanda za juu kusini narudi mkoani nilikua speed kidogo Sasa ghafla siunajua mambo ya vijijini jamaa wamepakiana mshikaki wakawa wanaingia mainroad bila tahadhari nikataka kuwakwepa nikashindwa nikawapitia na Mimi nikayumba nikaenda anguka mbele kidogo palikua na watu wakajaa pale Kama ujuavyo ukigonga boda inaonekana mwenye gari ndio ana shida Basi ikawa tafrani pale wakakomba kila kitu changu nurusa wanakijiji waniue Askari wakaja ndio kuwekwa ndani wale walifariki wawili mmoja yupo hospitali Mimi sikuumia ingawa gari iliharibika kabisa
Pole bill..nilikuwa na wasiwasi mno..gud to see you again baba.Habari washkaj zangu niliwamis Sana mwenzenu nilipata majanga sikumaliza mwaka vizuri ndio maana hamkuniona humu la kwa muda nilipata bonge la ajali wazee nikagonga watu bahati mbaya wakafa nimekaa Sana rumande nimetoka juzi mniombee nikae sawa kisaikolojia
Ohoooo maskini...βΉοΈβΉοΈβΉοΈβΉοΈPole babaAsante bro , nilikua nimetoka wilaya fulani huku nyanda za juu kusini narudi mkoani nilikua speed kidogo Sasa ghafla siunajua mambo ya vijijini jamaa wamepakiana mshikaki wakawa wanaingia mainroad bila tahadhari nikataka kuwakwepa nikashindwa nikawapitia na Mimi nikayumba nikaenda anguka mbele kidogo palikua na watu wakajaa pale Kama ujuavyo ukigonga boda inaonekana mwenye gari ndio ana shida Basi ikawa tafrani pale wakakomba kila kitu changu nurusa wanakijiji waniue Askari wakaja ndio kuwekwa ndani wale walifariki wawili mmoja yupo hospitali Mimi sikuumia ingawa gari iliharibika kabisa
thanks mamii all is wellPole bill..nilikuwa na wasiwasi mno..gud to see you again baba.
Happy new year πππ
Pole sana mkuuHabari washkaj zangu niliwamis Sana mwenzenu nilipata majanga sikumaliza mwaka vizuri ndio maana hamkuniona humu la kwa muda nilipata bonge la ajali wazee nikagonga watu bahati mbaya wakafa nimekaa Sana rumande nimetoka juzi mniombee nikae sawa kisaikolojia
thanks Sana ngosha niaje lakiniPole sana mkuu
Fresh kabisa mkuuthanks Sana ngosha niaje lakini
mwaka nimeuona maisha lazima yaendelee hamna namna ,, ushawahi kaa rumande mkuu hata one night stand ?Fresh kabisa mkuu
Heri ya mwaka mpya japo umepatwa na majanga ila maisha lazima yaendelee mkuu.
POLE SANA
Ohooooo..kabisa babathanks mamii all is well
Happy new year T 1990 ELYPole sana mkuu
Kabisa aisehFresh kabisa mkuu
Heri ya mwaka mpya japo umepatwa na majanga ila maisha lazima yaendelee mkuu.
POLE SANA
π π π nimekuwa siku hizi ujue..niliupokelea znz babauliupokelea wapi au kwenye masanga ππ
Asante sana.Huu Ni Mwaka alioufanya Bwana
2021
Heri ya Mwaka mpya kwa kila mmoja
β’Bwana akubariki na kukulinda
Ulinzi wa damu yake uende pamoja nawe,akulinde na hila na hatari na magonjwa na ajali..ukawe salama.
β’Bwana akuangazie Nuru za uso wake na kukufadhili.
Mwanga wake ukafanye njia juu yako ..ukafungue mafanikio katika uchumi na katika Mambo yote.
β’Bwana akuinulie uso wake na kukupa amani.
Amani yake iwe pamoja nawe,katika nyakati zote amani yake itawale moyoni mwako..uso Wake uende pamoja nawe.
Natamka mafanikio na Baraka,
Mwaka huu ukawe wa mafanikio
Ukawe wa ushuhuda,ukawe was neema,ukawe wa kuvuka katika Mambo yote.
Mungu akubariki kazi yako ikazae moja kwa thelathini hadi Mia.
Upendo wetu uzidi kudumuView attachment 1664348
mdogo wangu hela ipo nakuaminia ukajipa vakee ππ π π nimekuwa siku hizi ujue..niliupokelea znz baba