Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwani unajaribu kusema nini labda
 
Naunga mkono hoja na ukitaka ugombane na bibie mguse MTU cha wenyewe

Nb:Ni utani
 
Kwangu mimi ni kawaida,sijui kwako.
Hii dunia si yetu na lazima tutakufa..kwetu ni Mbinguni na hakuna namna tutafika pasi na kupitia hiyo hatua..
Wapo wachache watakaobahatika kufika Mbinguni pasi na kupitia kifo.

Dunia sio yetu kiaje wakati tupo duniani? Ni ya nani hii dunia?

Nani kakuambia kwetu ni mbinguni na kwa nini iwe wachache tu watakaokwenda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…