Rafiki yangu Mnyaki alifariki masikini. Rest in peace Magreth. I will always carry your memory na nikija kubahatika kupata mtoto wa kike nitampa jina lako. Wanyaki mna roho nzuri sana
Kwangu mimi ni kawaida,sijui kwako.
Hii dunia si yetu na lazima tutakufa..kwetu ni Mbinguni na hakuna namna tutafika pasi na kupitia hiyo hatua..
Wapo wachache watakaobahatika kufika Mbinguni pasi na kupitia kifo.
Hivi huyu mtu chake anavyobebishwaga hivi halafu eti bado kutwa analalamika mademu wa JF hawamkubali
Sijawahi kuona Chakorii anambebisha mwanaume mwingine humu JF kama anavyombebisha huyu na anambebisha yeye peke yake tofauti na wanawake wengine ambao wanabebisha kila mwanaume
Hivi huyu mtu chake anavyobebishwaga hivi halafu eti bado kutwa analalamika mademu wa JF hawamkubali
Sijawahi kuona Chakorii anambebisha mwanaume mwingine humu JF kama anavyombebisha huyu na anambebisha yeye peke yake tofauti na wanawake wengine ambao wanabebisha kila mwanaume
Kwangu mimi ni kawaida,sijui kwako.
Hii dunia si yetu na lazima tutakufa..kwetu ni Mbinguni na hakuna namna tutafika pasi na kupitia hiyo hatua..
Wapo wachache watakaobahatika kufika Mbinguni pasi na kupitia kifo.