Selfika na JF: Snap it. Show it

Imeisha, tuwe wenye furaha kama zamani, tatizo mtu kujua huu ji utani na huu ni ukweli ni ngumu, amesema alikua anatania, usikuze jambo jirani limeisha hilo
Nitakunasa makonzi jirani ujueπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†nani anakuza mambo..


Asili yangu mimi napenda amani kufurahi mda wote..kunikuta nimechukia ni nadra mnooo..

So hakuna kilichoharibika jirani yangu
 
Nitakunasa makonzi jirani ujueπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†nani anakuza mambo..


Asili yangu mimi napenda amani kufurahi mda wote..kunikuta nimechukia ni nadra mnooo..

So hakuna kilichoharibika jirani yangu
Halafu my wifiii nina wasiwasi wew na MTU chake mbona hili jambo umechukia mno kuliko muhusika mwenyewe mjulishe MTU chake wewe ni mke halali wa bro wangu

Nb:huu ni utani siko serious wapendwa
 
linahbaby take it easy honey..

We nae umelia nini sasa loh!!

Hebu njoo tuendelee kufurahi huku..

Njoo basi mcute wangu mzuri mzuri.

Unanifanya na mimi nataka kulia loπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†haya njoo mwaya
 
Nitakunasa makonzi jirani ujue
nani anakuza mambo..


Asili yangu mimi napenda amani kufurahi mda wote..kunikuta nimechukia ni nadra mnooo..

So hakuna kilichoharibika jirani yangu
Sawa jirani yangu mpole mpole nilishangaa hata hivyo nikajua leo kuna mtu kakushukia simu eti au id imekua hacked
 
Halafu my wifiii nina wasiwasi wew na MTU chake mbona hili jambo umechukia mno kuliko muhusika mwenyewe mjulishe MTU chake wewe ni mke halali wa bro wangu

Nb:huu ni utani siko serious wapendwa
πŸ˜…πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†nilikuwa Nisha anza kupanic ujueπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Hey mimi na mtu chake hatufahamiani zaidi ya hapa jukwaani selfika.
So hata hivi unavyoniita wifi sidhani kama ni sahihi.Kwakuwa nimemuita mhusika aje akurekebishie hilo jina.

Sihusiki kwa namna yoyote mama na hilo jina.kwa maelezo zaidi waweza hata wewe kumuuliza binafsi.

πŸ₯‚πŸ₯‚πŸ₯‚πŸ₯‚πŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈπŸ˜˜πŸ˜˜πŸ§šβ€β™€οΈ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…