Imeisha, tuwe wenye furaha kama zamani, tatizo mtu kujua huu ji utani na huu ni ukweli ni ngumu, amesema alikua anatania, usikuze jambo jirani limeisha hilo
Halafu my wifiii nina wasiwasi wew na MTU chake mbona hili jambo umechukia mno kuliko muhusika mwenyewe mjulishe MTU chake wewe ni mke halali wa bro wangu
Imagen kwa mara ya kwanza nimelia kwa sababu ya watu wamtandaoni ambao ata siwajui ila leo nimenmjisikia vibaya zidi yao kosa ni langu na nimeomba msamaha sijawai kuitwa mbuzi mimi ndo mara ya kwanza leo ila yote hayo nimeyataka mimi sina budi kuyajutia masihara yangu mtu chakeChakorii naombeni mnisamehe sana
Halafu my wifiii nina wasiwasi wew na MTU chake mbona hili jambo umechukia mno kuliko muhusika mwenyewe mjulishe MTU chake wewe ni mke halali wa bro wangu
Halafu my wifiii nina wasiwasi wew na MTU chake mbona hili jambo umechukia mno kuliko muhusika mwenyewe mjulishe MTU chake wewe ni mke halali wa bro wangu
Hey mimi na mtu chake hatufahamiani zaidi ya hapa jukwaani selfika.
So hata hivi unavyoniita wifi sidhani kama ni sahihi.Kwakuwa nimemuita mhusika aje akurekebishie hilo jina.
Sihusiki kwa namna yoyote mama na hilo jina.kwa maelezo zaidi waweza hata wewe kumuuliza binafsi.