Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,675
- 39,092
ShimboniMhmhh
ShimboniMhmhh
...wadau wanasema hua inaambatana na kizinga


Naanzaje kukugomea HANI
Hivi hujui mwezi wa vikoba huu, ndo ushapishana na mshahara. Nilitaka nikutoe boonge la outing tukaenjoy....wadau wanasema hua inaambatana na kizinga![]()
jamvini tumekatazwa kusikiliza hiyo kitu.







Anapishana na gari la Mshahara huyo..Hivi hujui mwezi wa vikoba huu, ndo ushapishana na mshahara. Nilitaka nikutoe boonge la outing tukaenjoy.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha haaaaa..Nimecheka mno Shem.. Nami naomba nikuambie kitu...


naona mtu na dadake mmeamua kunipiga cha mbavu.Aaaah wapi, hujanishawishi bado!Hivi hujui mwezi wa vikoba huu, ndo ushapishana na mshahara. Nilitaka nikutoe boonge la outing tukaenjoy.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila leo ana kesi..
Bora amekataa, nakutoa wewe dada yangu. Hebu chagua twende wapi?Anapishana na gari la Mshahara huyo..
naona mtu na dadake mmeamua kunipiga cha mbavu.
Nijibu basi Shem.. Nikuambie kitu?
Ha ha haaaaa..Nimecheka mno Shem.. Nami naomba nikuambie kitu...





Bora amekataa, nakutoa wewe dada yangu. Hebu chagua twende wapi?
Yeye abaki akilea watoto.
Sent using Jamii Forums mobile app



ukitoka usirudi!Basi tulia cheza na akina KarmaAaaah wapi, hujanishawishi bado!
Basi nisamehe babe!Basi tulia cheza na akina Karma
Naenda na dada yangu, tutaonana njanuary.
Sent using Jamii Forums mobile app