Tazama ramani utaona nchi nzuri,
Yenye mito na mabonde mengi ya nafaka,
Nasema kwa kinywa halafu kwa kufikiri,
Nchi hiyo mashuhuri huitwa Tanzania,
Majira yetu haya
Yangekuwaje sasa
Utumwa wa nchi Nyerere ameukomesha
Utumwa wa nchi Karume ameukomesha
View attachment 1645766