Same here, mi nilishindwa kulenga ufunguo kwenye kitasa nikalala zangu kibalazani na ufunguo mkononi.. Niliamka nahisi kichwa kina mawe kwa ndani๐๐
Chizi kabisa wewe eti nini๐ ๐ ๐ ๐ ๐
Ishu ni kwamba sikuwa na kumbukumbu nilipanda usafiri gani ukanifikisha home.nilijikuta niko nyumbani salama salimini
Walikuwa ni wafanyakazi wenzangu wakike kwa waume๐ ๐ ๐
Ulishawahi kungโangโanizwa kitu na marafiki zako ambao wanapiga masanga๐๐๐ni kizai zai aiseh asikwambie mtu๐คช๐คช
Aiseee mimi bia zangu pendwa ni Safari na Balimi yaani hauniambii kitu! Ila cha ajabu watu wananishangaa wananiambia eti nakunywa vitu vizito wakati mie naziona tamu na za kawaida tu!