Selfika na JF: Snap it. Show it

Same here, mi nilishindwa kulenga ufunguo kwenye kitasa nikalala zangu kibalazani na ufunguo mkononi.. Niliamka nahisi kichwa kina mawe kwa ndani๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œkwako Chief aiseh pole na hongera pia..

Najaribu kuwaza kwa kina wale marafiki zangu walitaka kuniua ama nini maana ndo bia ya kwanza chungu kuanza kuikunywa
 
Hukukuta mabadiriko yoyote yale ya kimwili?


Sent from my SM-G955N using JamiiForums mobile app
 
Ulikuwa hujitambui(muda wa shetani kufanya kazi yake na kusingiziwa/kutupiwa lawama)


Au walikuwa marafiki zako wa kike?

Sent from my SM-G955N using JamiiForums mobile app
Chizi kabisa wewe eti nini๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Ishu ni kwamba sikuwa na kumbukumbu nilipanda usafiri gani ukanifikisha home.nilijikuta niko nyumbani salama salimini

Walikuwa ni wafanyakazi wenzangu wakike kwa waume๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

Ulishawahi kungโ€™angโ€™anizwa kitu na marafiki zako ambao wanapiga masanga๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ni kizai zai aiseh asikwambie mtu๐Ÿคช๐Ÿคช
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ