Selfika na JF: Snap it. Show it


Aiseee mimi bia zangu pendwa ni Safari na Balimi yaani hauniambii kitu! Ila cha ajabu watu wananishangaa wananiambia eti nakunywa vitu vizito wakati mie naziona tamu na za kawaida tu!
 

Eti
unasemaje??naungana na hao watu bilioni moja kukushangaa.

Babeki bia zote hizo unazokunywa ni shoka.

shikamoo mdogo wangu🙌
 
Same here, mi nilishindwa kulenga ufunguo kwenye kitasa nikalala zangu kibalazani na ufunguo mkononi.. Niliamka nahisi kichwa kina mawe kwa ndani😀😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…