Mwaka 2017 marafiki zangu walinilazimisha bhana ninywe hiyo pombe 🤪🤪mbili tu sikujua nilifikajenyumbani ila nilijikuta nimelala ndani na mlango nimeufunga safi kabisa.🙌🙌sijawahi rudia tena 😁😁
Aiseee mimi bia zangu pendwa ni Safari na Balimi yaani hauniambii kitu! Ila cha ajabu watu wananishangaa wananiambia eti nakunywa vitu vizito wakati mie naziona tamu na za kawaida tu!
Aiseee mimi bia zangu pendwa ni Safari na Balimi yaani hauniambii kitu! Ila cha ajabu watu wananishangaa wananiambia eti nakunywa vitu vizito wakati mie naziona tamu na za kawaida tu!
Mwaka 2017 marafiki zangu walinilazimisha bhana ninywe hiyo pombe 🤪🤪mbili tu sikujua nilifikajenyumbani ila nilijikuta nimelala ndani na mlango nimeufunga safi kabisa.🙌🙌sijawahi rudia tena 😁😁