Sasa na uzuri wenyewe hata JF hayupo..
Angekuwepo akatoa majibu ya kunivunja firigisi,utumbo,bandama,kongosho,mawashiwashi na mengineyo😅😅ningefurahi snaa maana ningejituma zaidi ya mwanzo huku nikisindikiza na maombi ya siku tatu kavu mlima sayuni..Hallelujah
Mkuu tafadhari unaonaje tukipata dinner pamoja siku moja..! We ni moja ya watu ninaotamani kukutana nao hara nikiwaona tu nitakuwa happy sana. Alfu unavyotupia daah
Vizuri komaa deae uje utoke na "first class with honor"😘😘 ukikosa basi hata Upper Second class with honor pia si mbaya, ila hizi gentleman GPA zetu hizi🤔🤔
Wamepiga lami siku hizi hadi huko juu kabisa kwenye wodi za watoto ?? Nimewahi kuwepo hapo kwa miezi kadhaa .!
Kuna Barabara ya kupandisha na barabara ya kushuka ...! One way road.! Napamiss mbeya jamani.!
Kipenzi naweza pata picha zingine za huko kwetu .. Green city