๐๐๐sijaitwa dear siku mobu ๐ ๐ leo nitalala vizuri.Nimekumiss pia dear, sana tu, nilikua sipo hewani siku mbili hizi, kwa hiyo nimeona tofauti mimi wow safiiii
Huwa napenda kusikiliza hizo nyimboHuu wimbo wa upendo naweza usikiliza siku nzima. Nipe playlist yako ya nyimbo za kisabato na Kilutheri. Nb isiwe za Ambassador
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukiwa mgeni jf unaweza kufikiri hapo imetumwa picha ya msosii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwahiyo kwenye mboga za majani kuna Sir devo si ndio๐๐๐Umevurugwa upako wangu hapa maana nilikuwa karibu na mwokozi kwa kusikiliza nyimbo za dini
Nimeona hizo mboga za majani nikasahau kila kitu maana si kwa njaa hii.
Sent from my SM-G955N using JamiiForums mobile app
Kwa kweli nina mabalaa mimi na chizi kabisa nikiona hivyo vitu mkuuUnamabalaa wewe chizi kabisa[emoji28][emoji28]
๐๐๐๐ndo mana hunenepiKwa kweli nina mabalaa mimi na chizi kabisa nikiona hivyo vitu mkuu
Bhasi tu
Sent from my SM-G955N using JamiiForums mobile app
Hajaoa bhana..[emoji28][emoji28][emoji28]nilikuwa namvuruga tu
Hahahhaa yani nioe niache kuanzisha uzi wamichangoo?? Au hamjui harusi ni project kama project zingineeKumbe ameoa anataka wake wawili huyu kumbe Hazard CFC muhuni
Upo maeneo gani nipo dom pia...#ChakoChako #Dodoma
View attachment 1638559
Kabisa Sir Devo kachungulia kwa mbaaaaaaaali mwanzo mwanzo namuonaKwahiyo kwenye mboga za majani kuna Sir devo si ndio[emoji38][emoji38][emoji38]
Kumbeee nilikuwa sijui aise..basi na mimi nikikaribia kuolewa nike kufungua uzi wa Mchanga wa harusi si ndio๐Hahahhaa yani nioe niache kuanzisha uzi wamichangoo?? Au hamjui harusi ni project kama project zinginee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nyama mamaa nyamaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa kwani imetumwa ya nini??
Kwahiyo hujaona hizo mboga?[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nyama mamaa nyamaaa
Wewe inayoluhusu ni sendoff harusi ni yabwana harusi..nikikuoa mimi tunaanzisha zote mbili, unawapiga kwenye sendoff mimi nawapiga kwenye harusii..Kumbeee nilikuwa sijui aise..basi na mimi nikikaribia kuolewa nike kufungua uzi wa Mchanga wa harusi si ndio[emoji28]
๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ nimecheka kiboya sana ujue..Kabisa Sir Devo kachungulia kwa mbaaaaaaaali mwanzo mwanzo namuona
Ashindwe katika jina mboga za majani
Sent from my SM-G955N using JamiiForums mobile app
Heee kumbe pana mboga pale...i swear sijaziona,ngoja nikaangalie tenaKwahiyo hujaona hizo mboga?[emoji23]
Tumuone na mlaji basiPresentation 0 ila ladha ni fresh
View attachment 1638591
Mmmh...kwa unene huu unataka ninenepe niende wapi mkuu?[emoji1][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]ndo mana hunenepi
Amina mkuuSawa kiongozi nikipata muda nitasikiliza
Bless[emoji3577]
Sasa mbona offer yako imechelewa sana Hazard???๐๐ Nakaribia kushiba hapa!Upo maeneo gani nipo dom pia...
Mama wa mapochopocho itabidi nikutoe tu chakula cha usiku