Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

friday
20201127_113823.jpg
 
Amesema perfect combo?

Kwa kweli sitaki tena ushirikiano na wewe. Nilijua utakuwa umejifunza kinge angalau unitafsirie kumbe kushney babuji. Hujasahau tulimkosa mchumba kisa x-pozha? Sifili secure kabisa kuwa na urafiki na wewe
Ngosha kingereza kinanipiga chenga mwenzio, hebu nitafsirie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amesema perfect combo?

Kwa kweli sitaki tena ushirikiano na wewe. Nilijua utakuwa umejifunza kinge angalau unitafsirie kumbe kushney babuji. Hujasahau tulimkosa mchumba kisa x-pozha? Sifili secure kabisa kuwa na urafiki na wewe

Umekua sikio likazidi kichwa eeh?

Nimekuja kugundua kingee sio midomo yangu nikaachana nacho, bora nijifunze kinyakyusa tu sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Roho bado inaniuma ujue kukosa ule uchumba. Usiishie kujifunza tu kinyaki, jifunze kutoa na mabanzi kabisa teh

Daah hadi nimemmiss T ake mama x-pozha. Nalendwa you are missed badly pal

Umekua sikio likazidi kichwa eeh?

Nimekuja kugundua kingee sio midomo yangu nikaachana nacho, bora nijifunze kinyakyusa tu sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Roho bado inaniuma ujue kukosa ule uchumba. Usiishie kujifunza tu kinyaki, jifunze kuto na mabanzi kabisa teh

Daah hadi nimemmiss T ake mama x-pozha. Nalendwa you are missed badly pal

Mabanzi muhimu, hilo ndo nilianza nalo.
Nalendwa sijui kapotelea wapi jamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom