geraldincredible
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 2,035
- 7,227
friday
Ewe mtumishi mwema. Njoo tu hata uwe mama kabisa wa haka kabinti kwa kweli. Nako kanampenda Mungu sana na mtakuwa wamoja sana katika utumishi wenu. Karibu sana mtumishiKongole sana Mtumishi.
Sasa Mtumishi hamuwezi kuni-adopt na mimi nikawa binti yenu mhenga au vyovyote tu?







Amesema perfect combo?
Kwa kweli sitaki tena ushirikiano na wewe. Nilijua utakuwa umejifunza kinge angalau unitafsirie kumbe kushney babuji. Hujasahau tulimkosa mchumba kisa x-pozha? Sifili secure kabisa kuwa na urafiki na wewe







@Kaboom unafeli wapi hadi mtoto anatafuta baba wa kufikiaKongole sana Mtumishi.
Sasa Mtumishi hamuwezi kuni-adopt na mimi nikawa binti yenu mhenga au vyovyote tu?


Mzima mimi mkuu
Niko poa kabisa mdogo wangu. Naona ndio umeachiwa sasa. Nilikumiss.Mzima mimi mkuu
Vipi mzima wewe
Ewe mtumishi mwema. Njoo tu hata uwe mama kabisa wa haka kabinti kwa kweli. Nako kanampenda Mungu sana na mtakuwa wamoja sana katika utumishi wenu. Karibu sana mtumishi![]()
Umekua sikio likazidi kichwa eeh?
Nimekuja kugundua kingee sio midomo yangu nikaachana nacho, bora nijifunze kinyakyusa tu sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Roho bado inaniuma ujue kukosa ule uchumba. Usiishie kujifunza tu kinyaki, jifunze kuto na mabanzi kabisa teh
Daah hadi nimemmiss T ake mama x-pozha. Nalendwa you are missed badly pal






Nakemea roho ya uchonganishi: ishindweeeee
Mabanzi muhimu, hilo ndo nilianza nalo.
Nalendwa sijui kapotelea wapi jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni fedheha ya hali ya juu kwa wazazi wako.Nakemea roho ya uchonganishi: ishindweeeee
Teh ntapitia tena ule uzi wa wanawake wagomvi.
That gal daaaaah




