Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Tumetofautiana kukosa hela![]()
Mimi muda wote mambo magumuTeh mimi mambo yakiwa magumu sana ndiyo nafutuka zaidi
Teh mimi mambo yakiwa magumu sana ndiyo nafutuka zaidi









Tall dark guys tumekosa nini tena jamani?@espy kuna tallest dark guy huku
My carbaKiuno nyigu nakuona.![]()









Mimi muda wote mambo magumu
Aaaa chibongeeee!
Heaven SentChi chi chi chibongeee
Tall dark guys tumekosa nini tena jamani?
Mambo vipi mkuuAbeeeeee
Mambo vipi mkuu
Kwangu niko poa/salama kabisaFresh sana mkuu, sijui kwako
Kwangu niko poa/salama kabisa
Kumbukumbu zangu sikumbuki kama nilishaga wahi kuthubutu kuona picha/sura yako mkuu...
Au uliweka nikapitwa
Naweza kukuona kupitia picha/selfie?
Bhasi uliweka nikapitwa mkuu
Ukiweka hiyo nyingine soon usisite kuni tag
Au nione hata mguu tu
C.c Chakorii