Selfika na JF: Snap it. Show it

Ha ha unatokea uchagani nini lizzy?daah acha kabisa huo upishi wa ndizi, aisee ni tamu sanaaa
 
Siku nitajitolea kukupikia huu mchongo, wewe na madogo...utawaambia tuu kuna kijana nimemuajiri atakuja leo kupika
Eti kuna kijana nimemuajiri 🀣🀣🀣 i like that!!
Nasubiria kwa hamu πŸ™‚πŸ™‚
 
My bibi treat pia...ninapenda sana ila tangu alivyoondoka duniani sijawahi kula tena hivi
 
My bibi treat pia...ninapenda sana ila tangu alivyoondoka duniani sijawahi kula tena hivi
Same here πŸ™πŸ™

Na chapati za mayai πŸ˜ƒ she used to make some MEAN pancakes!!Yani dah πŸ˜’πŸ˜’ Kuanzia aende zake sikuwahi kula tena. Ntapikia watu wengine ila mie silagi kabisa!!
 
Wacha wee kumbe wapenda perege ee...safi
Juzi nilikuwa korongo,magadini nikamalizia nyumba ya mungu kupitia langasani mikocheni..nilikuwa na haraka kidogo so sikufaidi perege
 
Hiyo kitu nimekula juzi nilikuwa Kijijini...haki unapata ladha ya chakula kuliko kawaida πŸ˜‹πŸ˜‹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…