Safi Sana you look smart upstairs, pale walimu wengi nafikiri hawapo Tena kila Zama na kitabu chake, Ila was one of my best school in studies and fashion Yuda a anasema kabisa vaeni modal mnapendeza Sana kwanza nyinyi ni wafanya kazi wa bank sio wanafunzi [emoji3][emoji3][emoji3]Nilikuwa mtoto mzuri sana
Si kwamba nilikuwa najiweza,Wala!!
Basi tu nidhamu na kuongea taratibu.halafu sura yangu sijui imekaa kipole[emoji38]
Yule mama alinipenda sana asee,akiingia madarasa mengine ananitolea mfano.
Akija darasa letu alikuwa anapenda sana kutumia daftari langu, akawa haishi kunisifia usmart katika kupanga kazi.
Sasa huu ujambazi jambazi sijui niliutoa wapi mimi,[emoji38],kwanza ilitakiwa nibaki Sangu palepale basi tu.
Ndimbo hivi Bado yupo??siku hizi walimu wengi hawapo,waliondolewa sana.
Smart wapi[emoji38]Safi Sana you look smart upstairs, pale walimu wengi nafikiri hawapo Tena kila Zama na kitabu chake, Ila was one of my best school in studies and fashion Yuda a anasema kabisa vaeni modal mnapendeza Sana kwanza nyinyi ni wafanya kazi wa bank sio wanafunzi [emoji3][emoji3][emoji3]
Mimi nipoHahahaha, wewe huyoo unafichwa sana khaa
I Miss Mbeya [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Tughimbe HallView attachment 1624133
Karibu sanaI Miss Mbeya [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Mdogo wangu wewe uko kwa wapi
Pamba ziko dox tu pale, yaani ukishindwa kupendeza mbeya Basi wewe una matatizo modal za maana buku tatu tu mtu unakua nazo hata kumi na tano[emoji3][emoji3]Smart wapi[emoji38]
Mi kilaza tu
Mungu hakunyimi vyote [emoji23][emoji23][emoji1787]
Yaani hadi mwandiko akunyime?A wapi!!
Mimi nilikuwa najivuta vuta baadhi ya masomo na Kuna masomo Kama hilo la fifo sijui lifo Aki ya Nani nilikuwa nanyoka nayo nahakikisha sichomoki nafasi yangu hadi naondoka pale..
Eti vaeni tu modo[emoji23][emoji23]
Akukute nayo mwabulambo na mwanjali Sasa[emoji38]
Ila watu sijui walikuwa na viwanda vya suruali[emoji848]asbh wanamkatia jioni anarudi amevaa nyingine kama ileile[emoji23][emoji23]
Ndio hicho tu niliipendea shule ime[emoji1787]
K'sMdogo wangu wewe uko kwa wapi
Hivi kumbe O level umesoma SanguLast in first out(LIFO)
Nimemkumbuka madam fulani Sangu form 2 alitunyoosha Sana yule mama.
Huyo mwabulambo aliwahi nipa msukosuko nusura niumwe presha katika umri mdogo sana [emoji3]
Watu walikuwa wanatungua hatari[emoji23]Pamba ziko dox tu pale, yaani ukishindwa kupendeza mbeya Basi wewe una matatizo modal za maana buku tatu tu mtu unakua nazo hata kumi na tano[emoji3][emoji3]
Pole kwa niaba yake mgonjwaNauguza
Akhsante mama[emoji120]
Huyu dogo ameugua ghafla,sikutegemea kama ningelazwa
Pole sanaNauguza
Akhsante mama[emoji120]
Huyu dogo ameugua ghafla,sikutegemea kama ningelazwa
Pole sana mgonjwaNina kipindi wapi S Bill..
Ninakunywa dawa ndo mana
AkhsantePole sana
AkhsantePole kwa niaba yake mgonjwa
Hii wapi mkuu?hello lushoto...View attachment 1624469
[emoji23][emoji23]Huyo mwabulambo aliwahi nipa msukosuko nusura niumwe presha katika umri mdogo sana [emoji3]
Asante [emoji17][emoji17]Karibu sana