Selfika na JF: Snap it. Show it

Shimbaa matunda nakula sana throughout the day kwahiyo usinimaind sana jamani 😔😔
 
Weeeee....Labda wengine..
Mimi huniambii hivyo wewe.. kupendwa utapendwa tu.
Yaani niko hivi mtu akinipenda ni yeye mwenyewe ila mie sihitaji kupendwa
Yaani huwa naona mtu anipende au asinipende kwangu mie ni sawa tu

Na hata siku moja huwa siamini mtu akiniambia ananipenda yaani tangu mdogo niko hivyo sijui kwanini
Mie huwa naona kawaida ila kuna watu wengine huniambia hii siyo hali ya kawaida maana eti hakuna mtu asiyehitaji kupendwa
 

Analeta masihara huyu ngoja tusubiri hiyo wikiendi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…