Selfika na JF: Snap it. Show it

Mbona tuna jituma sana 6*6 mikunjo yote, style zote, utundu mwingi mpaka mwili unachemka mkitoka hapo mpo hoi hata kutembea mnashindwa,

unapiga deki safii kabisa, masaji safiii kabisa na goli 3 za ushindi hoi, tatizo hamliziki banah lizy inatokea siku nimesafiri tu, ule utamu sasa unauwaza, unakutana na kijana wa kuosha kucha anaanza tu kupapasa mguu na kushika vidole tu masikio yamesimama juu,mapigo ya moyo yanabadilika..
 
Mkuu sinywi pombe,sipendi mpira,Sijurushi viwanja. It's only movie.. kwakweli nishakua addicted vibaya mno.. Nataka nitafute sub nitoke huku maana loh
Ngoja nakucheki PM unitumie movie kali zote ulizoangalia na mimi nianze kuwa mlevi kidogo , nina movie 20 kwa simu nimezimaliza nimebaki kuzirudia tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…