Selfika na JF: Snap it. Show it

Unaleta ubishi nitakusemea kwa bukuku akupe fimbo,,

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Na fimbo zake anazochapa kwenye Cha za vidole

Kuna siku assemble nilikaa kibangala chenye kelele...wacha apite akatutandika wote.
Toka siku hiyo sikwenda Tena assemble..nikawa naset muda vzr nahakikisha 1:20muda wa kutoka assemble ndo nafika school..
Sasa siku daladala Zikizingua tunaenda kupambana na anko amani getini



Haya,bado sijasahau..nitajie Basi
 
Yule mlinzi Mimi siku ya kwanza naingia form v nilishangaa Sana mlinzi kua na mamlaka Hadi ya kuchapa fimbo tuliochelewa Mimi si nikamgomea bna akanipeleka kwa malekela na yuda shughuli niliipata,, jina kesho pm

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Na walimu hao wanavyochapa kwa sifa Sasa

Yaani anko amani
unakuta anaokotesha watu takataka ili mradi tu awacheleweshe getini ili mwalimu aje...ila tangu watu wamuangushe pale getini kiherehere chake kilimuisha..anapima upepo,akiona watu wengi wamechelewa anawapisha tu mpite


Unakuta tunafukuzana kwenye geti la huku ukumbini (hall) jamani

Yaani zile moments nazimiss sana


Nasubiri muda huu utaje I'd hiyo.
Km hutaki Basi weka full pic Yako.. nasubiri muda wote huu afu unasema kesho
 
ile shule Mimi nitaikumbuka milele ilikua na kashkash zisizoumiza na vile o level mlikua wengi Kama kumbi kumbi Kuna dogo mmoja kiongozi wa o level Kama shombe shombe tulichelewa akataka kutupigisha magoti na Tai zetu watu wazima tulimlamba makofi akaenda kutusemea kwa mkuu nusura tufukuzwe ni busara tu za mlokoke bukuku zikatubakisha

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Kuna tuviranja tulikuwa na sifa..na huo upuuzi ulikuwa unafanyika Hata assemble.
Aki Mimi sijawahi piga magoti..watu walikuwa wanatukana viranja hatari

Kwanza pale getini asbh nilikuwa napima upepo..nikiona soflin yupo basi napita..alikuwa hanipigi...akiwepo mofimu Mimi huyo napita geti la walimu huku nachechemea..na hivi nilikuwa na id yangu ya wagonjwa ilikuwa inanisaidia Sana.

Kuna siku nakumbuka nilichelewa niliisahau I'd na nimefika pale hakuna mwalimu anayenijua
yaani hadi kufika darasani nilikuwa nimekula fimbo za kutosha ile siku siji sahau.

Nasubiri I'd hiyo ujue
 
kumbe wew mkorofi aiseee na tule tugauni twenu sindelela mlikua mnatuokoa getini mkija mnakuja Kasi mlinzi haelewi amshike Nani na sisi tunapenya humo humo
, Mimi mama anafundisha mbeya day Sasa gari tukawa tunapanda pamoja nashukia pale sangu anakuta tunasubir fimbo anasema wew Kila siku ni viboko tu, hio I'd unataka ya nn kwanza unataka uanze kumzoom dogo wa watu Kama anajimwambafai humu au?

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Mimi mwenyewe shemeji yangu anafundisha mbeya day
Siku nikidandia lift yake..Alikuwa ananishusha pale...kwanza nikichungulia tu kwa mbali naona fimbo zinawaka getini

Mimi sikuwa mkorofi Bwana,ile I'd nilipewa maana niliwahi pata ajali kipindi nasoma pale na waalimu wengi walikuwa wananifahamu.

Kwanza Soflin alikuwa ananifokea akinikuta napita geti la wanafunzi. Ananiambia nikapite kule kwa waalimu ila Mimi nami nilikuwa napenda zile kashkash za pale geti letu, nikawa sikomi


Nitajie Bwana hiyo I'd..ni kwa nia njema tu.
 
Kesho i promise nitakutajia Ila pm sio public , usiku mwema mpendwa

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…