Selfika na JF: Snap it. Show it

Pole πŸ™‚πŸ™‚ ila sikukaribishi maana hata sio nzuri...utaboreka bure 😏😏
Ni dhambi kukosoa zawadi ya kupewa na mwanamke, iwe nguo, msosi n.k (hata Kama kinachumvi nyingi, unatakiwa kusifia tu).

Ngoja niuze Korosho zangu nikupeleke Malindi, Zanzibar ukaonje supu mwanana ya ngisiπŸ˜‹πŸ˜‹
 
Ni dhambi kukosoa zawadi ya kupewa na mwanamke, iwe nguo, msosi n.k (hata Kama kinachumvi nyingi, unatakiwa kusifia tu).

Ngoja niuze Korosho zangu nikupeleke Malindi, Zanzibar ukaonje supu mwanana ya ngisiπŸ˜‹πŸ˜‹
πŸ˜„πŸ˜„ kwahiyo unaishia kulaani kimya kimya tu?? Inabidi kusema bana (japo kwa upole) ili siku nyingine kuwe na some sort of improvement .

Alaaah πŸ™‚πŸ™‚... na msimu ndo huu right??

Ila mie fresh juice na kibua wa Lukmaan tu au chicken shawarma ndo πŸ€—πŸ€—
Hivyo vingine πŸ€ͺπŸ€ͺ
 
Psychology yenu ni ngumu sana kuilewa, ndiyo maana inatulazimu ku pretend muda mwingine.

Basi jiandae kwa mtoko wa kwenda kufurahia supu ya chaguo lako, si umesikia bei ya kilo 1 imefikia 3,000+ Tshs.?
 
Psychology yenu ni ngumu sana kuilewa, ndiyo maana inatulazimu ku pretend muda mwingine.

Basi jiandae kwa mtoko wa kwenda kufurahia supu ya chaguo lako, si umesikia bei ya kilo 1 imefikia 3,000+ Tshs.?
Msijitese hivyo bana. Psychology or not....kuna umuhimu wa kuwa mkweli ili mtu uwe na furaha. Tafuta tu namna ya kufikisha ujumbe kiungwana 😏😏

Basi sawa πŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸ‘Š
 
Msijitese hivyo bana. Psychology or not....kuna umuhimu wa kuwa mkweli ili mtu uwe na furaha. Tafuta tu namna ya kufikisha ujumbe kiungwana 😏😏

Basi sawa πŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸ‘Š
Labda wewe uko tofauti madam

Ukinishtua kuanzia tarehe 20 hivi ya mwezi huu sio mbaya, tukate tiketi mapema ya πŸ›« au ukipenda πŸ›³ manake najua mzigo utakuwa umesoma kwenye akaunti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…