Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 25,620
- 69,356
Nguvu ya soda haifui dafu hapa,,,,,,,
Lina minofu ya haja!Kama nguruwee
Nangoja watu wapungue nijilipue![]()
Unanisema huku najiona 😭😭Nguvu ya soda haifui dafu hapa,,,,,,,
Hivi mbona wanaume hawasifiani Kama wadada?
HallelujahAmina sana..
Mungu atatenda
Hahahahaha kazaneni kula ila ukijijua unakuwa kabati bora kuwa model tuUnanisema huku najiona![]()
Ndiwooo
Eti tumefanana
Mods wataniweka display kama walivyomfanya mzigua 😂😂Muda mzuri ni saa nane usiku
Acha uchochezi wakoo banaMpe panadol kabisa
Beautiful kapeace weweh!
😂😂 nakuja PM
Watch
Mali za mume wetu zinashikwaje kizembe zembe hivyoPicha tu mwenza. Unataka niachwe ubaki mwenyewe eeeh?? HATUACHANI




Usija kabisaaAsantee
Si wajua tena hii lugha ilikuja na meli