Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Usijali.ila kwa kukukumbusha tu jeiefu ina vichwa kuliko unavyodhani..nenda slo-moBasi forgive me
I just like teasing and kidding![]()
Usijali.ila kwa kukukumbusha tu jeiefu ina vichwa kuliko unavyodhani..nenda slo-moBasi forgive me
I just like teasing and kidding![]()
Njoo haraka sana kabla madogo hawajazishambulia.Nakuja mkuu
Haipiti Hata37size

. Chakorii hivi humu haurusiwi kuonesha sura eti ni kosa la jinaiUsijali.ila kwa kukukumbusha tu jeiefu ina vichwa kuliko unavyodhani..nenda slo-mo

Nashangaa anasema mie najua mpiraKijana anajua hii ni fesibuku..anaendelea kuzumika tuu..kuna vichwa humu mfano hakuna



Ufupi unamaanisha niniOnyesha chochote ilimradi si picha za ufupi..
Mimi mwenyewe nimeshangaa kwakweli..itakuwa kakuelewa sio kwa sifa hizo..😅😅chaNashangaa anasema mie najua mpira
Hawajui wanaojua mpira
Utupu.typing error kijanaUfupi unamaanisha nini
Ananipaka mafuta kwa mgongo wa chupaMimi mwenyewe nimeshangaa kwakweli..itakuwa kakuelewa sio kwa sifa hizo..cha



Basi wacha nibaki nayo😅😅Haipiti Hata![]()
Ngoja nikashangae mlimani city za bush nitajitahidi kubeba hata zawadi ya andazi mojaHaya ndo ulete zawadi sasa

Nashukuru kwa kuligundua hilo😆😆Ananipaka mafuta kwa mgongo wa chupa
Sema alitaka tu kupiga stori na mimi
Mhm!mi ndo huwa niko hivyo bana Chakorii I like joking nothing elseMimi mwenyewe nimeshangaa kwakweli..itakuwa kakuelewa sio kwa sifa hizo..cha

Usisahau maana nitakuwa sikuelewiNgoja nikashangae mlimani city za bush nitajitahidi kubeba hata zawadi ya andazi moja
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Fungua gate niko njeNjoo haraka sana kabla madogo hawajazishambulia.
Hakuna geti mlango huko wazi.Njoo basi.Fungua gate niko nje