Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Huyo atakuwa anajidunga serengeti lile sasa hivi...
Msukuma na watu weusi wapi na wapi SHIMBA YA BUYENZE .[emoji1787]
Tunaoaga hata weusi ila tu sema tunategemea kulipishwa ng'ombe wachache (labda 10 hivi) na siyo 30 au 40 huko kama ilivyo kwa mabinti weupe. Halijaharibika neno [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Tunaoaga hata weusi ila tu sema tunategemea kulipishwa ng'ombe wachache (labda 10 hivi) na siyo 30 au 40 huko kama ilivyo kwa mabinti weupe. Halijaharibika neno [emoji16][emoji16][emoji16]
Hapo lishaharibika neno Shimba..huoni tofauti ya ng’ombe 20-30 ni mbali sana.. ..au nitumie mkorofi niwe waiti
 
Back
Top Bottom