Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Karibu chipsi mayai ya kienyeji na nyamaView attachment 1563189
Asante mkuu

Mi nakula ugali dona,mboga za majani,Dagaa,/samaki/nyama nyanya chungu,bamia,biringanya na makorokocho mengine..kama unahicho nilichokiandika niambie nije kula
Yani unakula manyama na mayai nachuro kabisa na mazaga mengine ya asili na bado mwembambadaslamu si ungekata moto blaza
Nyanya chungu huwa nasikia siyo salama kula mwanamke eti anaweza akapata usijali kwenye vita majimaji
Labda zile nyeupe.mi nakulaga zile chungu kabisa zinazoitwa ngogwe.kama ngogwe zinaleta vita ya maji maji basi nitakuwa ninamtera
Hebu weka picha acha kuongea sana kaka
Hahaha...wembamba wangu wa asili mkuu wangu
Niweke picha ya nini?
Wacha weee..hongera aise..
Sie wengine tu kila usiku asubuhi tushafutuka
Ukinena na PM yangu hakika nakuhakikishia kila usiku asubuhi huwezi kufutuka maana nitakuwa nakutendea haki sitahiki mkuu


NIMESHIBA
Hapana mkuu.asante sana..hii haki ninayotendewa inatosha kabisa
Unaumwa jino kama mimi mkuu
Hahahahaha.......

Hapana naumwa niniliu....
Hiyo naniliu Baki nayo tu aise
Hahahaha, nyie marafiki wazuri sana,nawafuatilia kwa ukaribu mno
 
Back
Top Bottom