oh sawa mkuu,ukitaka pia kasuku nenda kigoma wanauzwa.khanga wala hatoroki mkuu kuna majirani zangu huwa wanafuga yani wanaachia free kama kuku na jioni wanarudi vizuri tu ila tatizo wanataga mayai popote
oh sawa mkuu,ukitaka pia kasuku nenda kigoma wanauzwa.khanga wala hatoroki mkuu kuna majirani zangu huwa wanafuga yani wanaachia free kama kuku na jioni wanarudi vizuri tu ila tatizo wanataga mayai popote
hapana mkuu,nina rafiki yangu pale Kigoma anawafuga toka mwaka 2013 aliwafuata Congo.kwanza kwenye mapori ya Tanzania sidhani kama wapo wale hutoka Congo
hapana mkuu,nina rafiki yangu pale Kigoma anawafuga toka mwaka 2013 aliwafuata Congo.kwanza kwenye mapori ya Tanzania sidhani kama wapo wale hutoka Congo