Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,493
Hujaelewa wapi mchumba?Dah mchumba haya maneno mazito...bado nahitaji ufafanuzi
Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
Ndiooo...karibu na shule ya vunjo sec
Kila mtu anaweka kimywaji
Njoooo
Kila mtu anaweka kimywaji
Wacha na Mimi niweke
Au chaiWeka dogo
Ila kisiwe soda wala maji wala juisi tuheshimiane
Weka picha dogo
Maandiko hayakatazi mkristo kunywa pombe, divai wala kinywaji chochote chenye kileo ndani. Maana maandiko mengine huzungumzia kileo kwa kuhalalisha matumizi yake. Mhubiri 9:7 inaamuru, “ kunywa kileo na moyo mkunjufu.” Zaburi 104:14-15 inaeleza Mungu hutoa divai “ inayofurahisha mioyo ya wanadamu.” Amosi 9:14 inazungumzia juu ya kunywa divai kutoka kwa shamba lako kama alama ya baraka za Mungu. Isaya 55;11 inapongeza “ naam, njoo ununue divai na maziwa…”Hujaelewa wapi mchumba?
Sina kinywajiWeka picha dogo
Sivyo wengi wenu mfanyavyo.Maandiko hayakatazi mkristo kunywa pombe, divai wala kinywaji chochote chenye kileo ndani. Maana maandiko mengine huzungumzia kileo kwa kuhalalisha matumizi yake. Mhubiri 9:7 inaamuru, “ kunywa kileo na moyo mkunjufu.” Zaburi 104:14-15 inaeleza Mungu hutoa divai “ inayofurahisha mioyo ya wanadamu.” Amosi 9:14 inazungumzia juu ya kunywa divai kutoka kwa shamba lako kama alama ya baraka za Mungu. Isaya 55;11 inapongeza “ naam, njoo ununue divai na maziwa…”
Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
Nataka picha yakoSina kinywaji
Natumia kwa kiasi mchumbaSivyo wengi wenu mfanyavyo.
Kila kitu kinaenda kwa kiasi na yafaa Sana kutumia kama ukumbusho wa damu Yake lakini sivyo inavyokuwa katika ulmwengu huu wa Sasa.
Vitu vyote ni halali lakini si vyote vifaavyo.

