Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,667
Huyu ni mwanangu ila nahisi nilibadilishiwa hospitali maana hata hafanani na wenzie
Hazard CFC huyu ni mama yako mkubwa.






Huyu ni mwanangu ila nahisi nilibadilishiwa hospitali maana hata hafanani na wenzie
Hazard CFC huyu ni mama yako mkubwa.






Khaaa... hivi vigezo ni vipi tena?Atupie kwanza kapicha nimpitishee....sitaki kumwita mama mkubwa mapema hivi![]()

Lizzy
Bahati nzuri mimi babako siangalii wa kwanza au wa mwisho, kwangu wote ni sawa tu!



that’s my daddy, i’m flattered.Kaeni hapo mkinisengenya huku mwenzenu nishashiba. Mtakula masengenyo yenu.



baba njoo tushaharibu huku, leo tunalala njaa.
sato wakwapi?Sinaga uchoyo ndg zangu wa dar kesho nawatumiaView attachment 1542462
We waache wajifanye wajuaji, nikimaliza kula nawapita hapo sebuleni kama siwajui naenda zangu kulala.



mweeNjoo ule keshosato wakwapi?

Kbaaaa yanDah sema kweli
Jr![]()
Mambo babeSinaga uchoyo ndg zangu wa dar kesho nawatumiaView attachment 1542462